PENZI LANGU 02
Kwenye harakati za kutaka kum'baka Aisha mara Ghafla walifika vijana wengine wanne walionekana kuwa na nguvu sana kisha wakasikia sauti ikizungumza
"vijana mnajifanya wanaume ambao mnajari sana hisia zenu kuliko utu wa mtu sio?,Sasa basi leo nitawafundisha jinsi ya kuishi na watu vizuri,vijana shika hao waadhibiwe haraka"
wale vijana wanne waliwakamata Joel na wenzie walipigwa saña na wakachomwa moto kabisa,Kisha mwenyekiti akamwambia Aisha
"umeona nimeamua kuwateketeza Kwa namna Ile ya kukutoa wasiwasi mpenzi na yeyote ambae atakusumbua basi niambie mapema nitamshughulikia,lakini Sasa naweza kupata penzi lako?"
"lakini sio Leo mwenye kiti sababu nipo kwenye siku zangu naomba nivumilie kidogo"
"ooh kumbee sawa Binti ukiwa tayari utaniambia maana Nina hamu saña ya kuwa nawewe faragha maana Kila nikikutazama yaani napandwa na hisia saña angalia kwanza mtoto una kiuno kizuri macho yako yanavutia saña urembo wako rangi yako ndo umezidi kuniteka mwenzio"
"basi mwenyekiti inatosha Wacha nirudi nyumbani Sasa"
mwenye kiti alimruhuau Aisha alirudi nyumbani kwao lakini moyoni alikua anawaza saña jinsi ya kumuepuka mwenye kiti huyo maana tayari ameshaanza mazowea n kijinga kwake na ukizingatia ye na Suma tayari wamekula kiapo cha kutoslitiana Maisha Yao yote.
alipofika nyumbani kwao aliondoa sura ya huzuni na kuiweka sura ya furaha Ili mama yake na Suma asigundue chochote haraka alimsalimia Kisha akamwambia
"mama Suma alinipigia wakati naenda shambani amefurahi saña hata Mimi nimefurahi kuongea nae na pia alisema anataka kuongea na wewe"
mama yake pia baada ya kuskia hivyo alifurahi saña na kumwambia
"mpigie nimeshammisi mwanangu jamani"
Aisha alitafuta Ile namba ambayo ilimpigia lakini alipokea mwanamke na kumwambia kua hakuna mtu yoyote ambae alimpigia kifupi aliwajibu vibaya saña kiasi kwamba Aisha alihisi huenda Suma amepata mwanamke mama yake akamwambia
"Aisha usijari labda Suma aliazima tu simu Kwa mtu usimfikilie vibaya najua umejitahidi saña kumuelezea lakini amekua mgumu kuelewa najua na Nina imaani kua Suma atapiga Tena.
upande wa dar Suma alikua kuchukuliwa na kijana wa boxa boda na kjpelekwa aehemu ambayo aliagizwa na baada ya kufika akamwambia
"dog hapa ndipo utakapokua unafanya kazi changamka usiwe na unyonge ikija gari msaidiane Ili mpate pesa sawa"
"Asante saña kaka"
"poa badae basi"
yule jamaa aliondoka na kumwachia Suma akiwa na wenzake wanapiga story.
Kwa muda mfupi tu suma alikubalika Kwa story zake na Kwa muonekano tu alionekana kua na mipango na akili nyingi saña.
Moja akamwambia
"kwahiyo Suma we mtu wawpi?"
"Mimi mtu wa tabora na nimetoka huko nyumbani nimeacha mama na mwanamke ambae ananipenda saña"
wenzake wakamtazama na mmoja akasema
"we ndo hujielewi yani Kwa sifa ulizotoa kuhusu mwanamke wako huwezi kumkuta kama ulivyomuacha broo yaani hapo ukipata demu wa huku pita nae usawazishe mana uwezi kubaki na ugumu simu zite eti Hadi upate pesa ya watu wako kuja mjini wakati huku mademu wapo wengi tu,ona sisi tupo hapa mwaka wapili Sasa lakini hatuna chochote mpaka sasahiv afu wewe unakuja kutuletea umama hapa"
"sikia ndugu zangu Mimi nimekuja mjini Kwa malengo maalum na sijakurupuka na Kila nitakachokipata tayari ninampango nacho kama mmekuja kwaajiri ya wanawake sjui manini me sipo hivyo"
wakati wanaendelea kupiga story ilifika gari Moja nzuri saña wote walisogea karibu kutaka kuiwahi kuiosha lakini mlango wa gari ulifunguliwa na kushuka mwanamke mwenye shape nzuri saña amependeza saña saña urembo wake shepu yake vilibebwa na rangi yake pia,alifunga mlango wa gari na kuzungumza
"washkaji zangu nani alinioshea gari yangu maana Sina kawaida ya kuosha gari Kila siku lakini ona Leo nimekuja Tena"
Kila mtu alikua anajikataa yule mdada kasema
"yule mbona kajitenga ni mwenzenu au?"
"ndio boss ni mwenzenu lakini mgeni hajazoea mazingira na ndio kwanza kafika Leo"
"anhaa ohk anaitwa nani?"
"sumaa njoo hapa"
mmoja akamuita Suma alismama na kupiga hatua Hadi pale yule mwanamke akampa mkono Kwa kumsalimia
"habari yako Suma?"
"safi tu karibu"
"Asante mbona uko umekaa kule wakati wenzio wanachangamka?"
"aah nilikua nasubiri muelewane ndo nije kusaidia"
"anhaa ohk sasa washkaji sikia Leo nipo mwenyewe hapa siondoki na gari yangu namkabidhi Suma alioshe akinizingua kama mlivyozingua Jana nitaondoka na sitarudi Tena kuosha gari hapa"
"hapana madam boss usiseme hivyo"
"Sawa basi Suma fanya hivyo"
Kisha akatoa pochi na kuwapa hela ya chakula Kisha akaingia kwenye gari na kuwaacha mziki Kisha akasogea kivulini kwaajiri ya kusubiri gari yake.
Suma alijitahidi saña kuiosha gari Kwa umakini saña Kisha akasogea Kwa huyo mdada na kumwambia
"madam boss gari Iko tayari"
huyo mwanamke alismama na kusogea karibu na gari na baada ya kuchunguza akaona utofauti mkubwa saña akampatia elfu20 Kisha akamwambia
"hii pes ya kwako usimuoneshe mtu yoyote na hii elfu 20 mtagawana elfu5 Kila mtu"
"Asante saña"
Suma alisigea Kwa wenzake na kuwapa Kila mmoja Tano Tano lake madam boss wao aliondoka na kuwaacha wakiendelea na story zao juma akamuhuliza Suma
"kwahiyo unaweza kutuambia huyo mwanamke ulivyompata maana umesema wewe ni Domo zege mbele ya msichana huyo mwanamke ulimpataje?"
"nistory ndefu saña ila wacha nifupishe tu ilikua hivi Mimi na mama yangu tulilikua tunarudi shambani manira ya sa11 jioni sasa tulifika aehemu Moja hivi ya msituni kulikua kunawaka moto alafu pia kulikua na sauti ikisikika kuomba msaada na niliposogea nikasimia kabisa inaomba msaada sana lakini watu waliokuwepo Hadi mwenye kiti alikua anasua kutoa msaada basi nikamuomba mama anipe baraka zake na bila ya kuchelewa nikazama msituni moto ukiwa mkali sana lakini sikujali chochote nikamkuta huyo mwanamke amefungwa kamba Tena akiwa na midamu mingi kutokana na kipogoa nikamfungua na kumbeba na kutoka nae ukweli nilikua nimechoka sana kutokana na kukosa kupumua vizuri kutokana na Moshi lakini yule dada tayari alishazimia sababu ya kuwa ndani ya moto Kwa muda kidogo basi nikamlaza chini watu wakiwa wamenijalia pale na Kwa bahati hua tukitoka shambani tunalitia mtoni kubeba Maji hivyo nilichukua ndoo ya Maji na kujimwagia Mimi na yule msichana Ili joto lipungue mwlili mwake pia na Mungu alitusaidia na muda mchache tu aliweza.kuamka.
na mwenye kiti akamkabidhi Mimi yule mwanamke huku akiisema kua atafanya uchunguzi ajue chanzo cha msichana huyo kuwepo pale.
basi niliondoka na yule dada Hadi nyumbani nikaanza kumuhudumia Kwa dawa na Kila kiti na baada ya kumuhulizia juu ya kilichotokea akanisimulia Kila kitu na kuomba kuishi pale na sisi mama hakupinga na Mimi pia sikua na sababu ya kukataa.
basi baada ya siku chache nikaona mabadiriko maana msichana yule alianza kunishika shemu tofauti za mwili wangu na mwisho akaniambia kua ananipenda na vile sikua na mahusiano na wasichana wa pale kijinini basi ikawa fursa kwangu ukweli tulikua na furaha sana hasa baada ya kuweka huru mapenzi yetu wengi waliona wivu sababu nikianza kutakaka Kwa penzi lake moto.
na yeye ndio alienishauri nije kumtafuta Maisha huku kwaajiri ya Maisha yetu ya baadae"
juma akasema
"nyie huyu Suma anainekana ni muongo sana hivi nyie hii movie hamjawahi kuiona kabisa?"
wote walicheka Kisha mwingine akasema
"juma sio Kila kitu ni movie mbina yanatokea hà yo mambo?"
"aah ramso sio Kwa Suma bwana huyu bwana anaonekana kabisa ni muongo"
Suma akamwambia
"kama unahisi ni uongo sawa lakini siku Moja utakuja kuamini kile nachokuambia"
Suma alismama na kuwaambia
"muda umeenda Wacha niondoke"
"kwahiyo Suma unaondoka sa12 hii wakati muda Bado kabisa Kuna magari ambayo hujaga usiku wewe"
"hapana Kwa Leo nimepata hii oes itanisaidia Kwa kesho Wacha tu niende"
Suma aliondoka eneo like na baada ya kufika mbele kidogo akasogea kibandani na kuomba kupiga simu aliweka namba na kupiga simu Kisha wakaongea sana na vipenzi vyake na Kisha akawatumia Ile elfu 20 Kisha akaagana nao.
kutoka hapo Hadi sehemu aliyosaidiwa ni mbli sana na ilikua usiku wa SAA Moja Suma hakuweza kutambua njia Ili apite Ili aweze kufika kwenye huyo nyumba ukweli ilikua inamchanganya saña akaamua tu kurudi ambapo ametoka na kabla hajafika popote wahini walimvamia na kumpole elfu5 ambayo alibakiwa nayo siku hivyo ilikua ya uchungu sana kwake lakini akajisemea
"Asante Mungu sababu Nina furaha kua nilichokipanga Kwa familia yangu nimetimiza na pesa iliyobakia nimeibiwa sawa lakini Mimi mwanaume nitavumilia tu na mengine yataendelea...
Suma alipiga hatua kurudi pale wanapooshea magari na kutafuta sehemu nzuri na kujihifadhi.
usikose itaendelea....
yajayo yanafurahisha

0 Comments